Sunday, February 22, 2015

WAJUE WAKUU WA WILAYA WAPYA NA WALIOHAMISHWA MKOA WA TANGA

MABADILIKO YA WAKUU WA WILAYA KATIKA MKOA WA TANGA.

Rais  Jakaya Mrisho Kikwete ameteua  Wakuu wa Wilaya wapya 12, waliobadilishwa vituo vya kazi 64 na waliobaki kwenye vituo vya zamani 42. Katika Mkoa wa Tanga yafuatayo ni mabadiliko ya Wakuu wa Wilaya.

Wakuu wa Wilaya Wapya.
1      Wilaya ya Tanga
Mhe. Abdula Suleiman Lutavi anayetokea Wilaya Namtumbo

2    Wilaya ya Muheza
 Mhe. Esterina Julio Kilas akitokea  Wilaya ya Wanging’ombe

3    Wilaya ya Pangani
Mhe. Regina Regnald Chonjo akitokea Wilaya ya  Nachingwea

4   Wilaya ya Lushoto
     Mhe. Mariam M. Juma ambaye ni uteuzi mpya 

5    Wilaya ya Handeni
Mhe. Husna Rajab Msangi ambaye ni uteuzi mpya

Wakuu wa Wilaya waliohamishwa vituo vya kazi ndani ya Mkoa
1   Mhe.Hafsa Mahinya Mtasiwa ambaye amehamishiwa Wilaya ya Korogwe akitokea Wilaya ya Pangani.

Wakuu wa Wilaya waliobaki kwenye vituo vyao vya zamani ndani ya Mkoa
1     Mhe.Mboni Mwanahamis Mgaza, Mkuu wa Wilaya ya Mkinga
2     Mhe. Suleman Salum Liwowa, Mkuu wa Wilaya ya Kilindi

Wakuu wa Wilaya ambao uteuzi wao umetenguliwa na kupangiwa kazi nyingine
1.      Mhe. Mrisho Gambo, aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Korogwe

Waliokuwa Wakuu wa Wilaya za Tanga na kuhamishiwa Wilaya zingine Nchini
1. Mhe. Subira Hamis Mgalu aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Muheza amehamishiwa Wilaya ya             Kisarawe
2. Mhe. Magid Hemed Mwanga alieykuwa Mkuu wa Wilaya ya Lushoto amehamishiwa Wilaya ya         Bagamoyo
3. Mhe.  Muhingo Rweyemamu aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Handeni amehamishiwa Wilaya ya         Makete
Hutopitwa na habari yoyote na niko tayari kukutumia kupitia www.tangakumekucha.blogspot.com

No comments:

Post a Comment