Saturday, February 28, 2015

TAARIFA YA HIVI PUNDE

Taarifa iliyonifikia kuhusu MBUNGE aliyefariki leo Dar es Salaam

mshumaaMbunge wa Mbinga na Mjumbe wa Halmashauri kuu ya Taifa CCM, Kapteni John Komba amefariki leo, taarifa iliyotolewa kwenye ukurasa wa Twitter wa Chama cha CCM, hajawamesema chanzo cha kifo chake.
Katika Tweet hiyo imeandikwa kwamba Mbunge huyo amefariki akiwa hospital ya TMJ.
Marehemu Kapteni Komba alikuwa kiongozi wa bendi ya TOT.
Naendelea kufuatilia taarifa hii na kila kitakachonifikia nitakuwa nakufahamisha pia hapahapa.

Komba
Kapteni John Komba enzi za uhai wake akiwa kwenye kikao cha Bunge.
ripkomba

No comments:

Post a Comment