Saturday, May 2, 2015

HAYAWI HAYAWI SASA YAMEKUWA

MAYWEATHER, PACQUIAO WAPIMA UZITO, SASA KILICHOBAKI NI NDONGA TU

Mabondia Floyd Mayweather na Manny Pacquiao wamepima uzito ikiwa ni hatua muhimu ya kuthibitisha pambano la kesho.Kukutana kwao na kupima uzito, maana yake kila kitu kimekamilika na kinachosubiriwa ni ndonga tu kesho.Ndiyo pambano ghali zaidi katika historia ya ngumi duniani na linasubiriwa kwa hamu duniani kote wakati wawili hao wakipambana jijini Las Vegas, Marekani.









No comments:

Post a Comment