Thursday, May 21, 2015

USICHEZE NA MCHINA WEWE??

Kutana na Wachina wabishi waliokataa nyumba zao zibomolewe mtaani.

1
Hii ni May 16 2015 ambapo kwa mujibu wa Wajenzi wa barabara, mmiliki wa nyumba hii anaendelea kuishi hapa japokuwa barabara imeshakamilika.
Hii ipo hata Tanzania unakuta barabara inabidi ipanuliwe so kuna watu tu watabomolewa nyumba zao ambazo ziko ndani ya eneo ambako ujenzi inabidi ufanyike.
Kwenye hizi picha za leo ni kutoka China ambako wamiliki wake wamekataa pesa zilizotolewa na idara ya ujenzi wa barabara kama fidia,
2
Picha ya April 2010 huko Guangxi Province
3
Hii nyumba wamiliki wake ni wazee Luo (67) na mke wake mwenye miaka 65 ambao waliingia kwenye mvutano na serikali kwa miaka minne kuhusu malipo yao na kuhama hapa.
4
Hata hivyo Luo alikubaliana na serikali na akalipwa zaidi ya MILIONI 80 za Kitanzania ndio akakubali kuhama na nyumba ikabomolewa December 2012.
5Hata hivyo wakazi wengine waliogomea nyumba zao zibomolewe baadae baadhi yao waliripotiwa kulipwa kiasi kikubwa cha pesa na kukubali kuondoka kupisha ujenzi.
6
7
8
9
10Hutopitwa na habari inayonifikia na niko tayari kukutumia muda wowowete kupitia hapa hpa tangakumekuchablog

No comments:

Post a Comment