
Mwanamke raia wa Misri, ambaye
inasadikika kwamba ndiye mwenye uzani wa juu zaidi duniani, amewasili
mjini Mumbai nchini India kufanyiwa upasuaji.Safari hiyo ya Jumamosi ilikuwa mara yake ya kwanza kwake kuondoka nyumbani katika kipindi cha miaka 25.
"Eman aliyesafiri kwa ndege ya EgyptAir aliwasili katika uwanja wa ndege wa Mumbai majira ya saa kumi alfajiri na akafika hospitalini Saifee mwendo was aa kumi na mbili alfajiri. Kitanda maalum alicholalia kiliinulia, yeye akiwa bado kitandani, kwa kutumia kreni," madaktari walisema.
No comments:
Post a Comment