Friday, February 17, 2017

VIONGOZI MAARUFU DUNIANI WAKICHEZA NA WATOTO WAO

wanasiasa na watoto wao

Theresa May in a school
Waziri mkuu wa Uingereza Theresa May alionekana kushangaa alipotembelea shule moja Cumbria wiki hii kama picha hii inavyoonesha.
Lakini si yeye wa kwanza kupigwa picha ambayo ni ya kushangaza akiwa na watoto.
  • Lucy Howarth
Hapa, ni baadhi ya picha za kushangaza za viongozi wengine.
Msichana huyu hakutaka kumuona aliyekuwa waziri mkuu wa Uingereza David Cameron
George Osborne
Mvulana aliyekutana naaliyekuwa waziri wa fedha George Osborne
Ed Miliband
Ed Miliband akinywa chai
Boris drops the shoulder
Boris naye alimwangusha mvulana mchezo wa raga
Ed Balls
Alyekuwa meya wa London Boris alikuwa akicheza raga na watoto wa miaka 10 Japan. Alionekana kutumia nguvu zake zote. Mvulana huyo baadaye alisema "nilihisi maumivu kidogo".
Boris baadaye aliomba radhi.
Ed Balls alihitaji kusaidiwa kuinuka kutoka kwenye mkeka
Nick Clegg
Watoto walionekana kushangaa.
Upweke Nick Clegg akila na watoto
Barron Trump
Mwana wa Donald Trump, Barron anafahamika kwa kupiga miayo
Trump
Upweke bao...
Obama
ObamaLakini kuna mwanasiasa mmoja anayefurahiwa na watoto ...

Obama reading Where the Wild Things Are

No comments:

Post a Comment