Saturday, February 11, 2017

UPIMAJI AFYA KWA HIARI WAFANA TANGA



Wakazi wa Tanga wakijisajili kupima afya zao kwa hiari  zoezi lililofanyika viwanja wa Mkwakwani jana.






Mratibu wa magonjwa yasiyoambukiza hospitali ya Bombo Tanga, Dr, Yassin Salim, akichukua maelezo kutoka kwa Mohammed Omar wakati w aupimaji afya kwa hiari zoezi lililofanyika uwanja wa Mkwakwani jana.

No comments:

Post a Comment