Wednesday, February 8, 2017

MHUBIRI AWANYWESHA SUMU YA PANYA WAUMINI WAKE

Mhubiri mwingine aliyewanywesha waumini kemikali ya injini nchini Afrika Kusini awali.Mhubiri mmoja nchini Afrika Kusini amekuwa akiwapa waumia sumu ya kuua panya kama moja ya njia ya kujaribu imani yao.
Light Monyeki, ambaye anaongoza kanisa la Grace Living Hope Ministries mjini Pretorria, anasema kuwa kwa kunywa sumu hiyo, inaonyesha kuwa kifo hakina nguvu kwa waumini.
Picha kwenye ukurasa wake wa Facebook, zinamuonyesha akichanganya dawa inayotumiwa kuua panya wa chupa na kuinywa na kisha kuwapa waumini.
BBC

No comments:

Post a Comment