Tuesday, February 28, 2017

WAPANDA MGOMBA KATIKATI YA BARABARA KULALAMIKA UBOVU WA BARABARA

Watoa huduma za usafiri wapanda mgomba wa ndizi barabarani NairobiWafanyabiashara usafirishaji wa  usafiri nchi Kenya, yanayofahamika kama matatu wamefanya maandamano kulalamikia hali mbaya ya barabara kwenye mitaa ya mji mkuu Nairobi.

Kituo kimoja cha redio kimetuma picha ya waandamanaji wakipanda mgomba wa ndizi barabarani kwenye mtaa wa Kayole, kama njia ya kusema kuwa barabara iyo inaweza kuwa bora kwa kilimo kuliko iwe barabara ya magari.
BBC

No comments:

Post a Comment