Friday, January 30, 2015

BABA AJIUA BAADA YA KUONA PICHA A UTUPU ZA BINTI YAKE

Binti huyu alipiga picha na kusambaza kwenye mitandao ya kijamii, baada ya hapo ni Stori!

 
loreWazazi wamekua na nafasi kubwa sana katika malezi ya watoto wao hata wakati pale wanapokuwa watu wazima lakini baba huyu kutokana na upendo kwa mwanaye aliamua kujiua baada ya kuona picha za mtoto wake alizopiga akiwa mtupu katika jarida la Playboy nchini Romania.
Loredana Chivu anayeishialiamua kuweka picha hizo akiwa amepiga katika staili tofauti katika mitandao mbalimbali ya kijamii ambapo baba yake baada ya kuziona alimkana mwanaye huyo.
lore2
Loredana Chivu msichana aliyesababisha kifo cha baba yake
Kwa mujibu wa mtandao wa The Mirror, msichana huyo akisimulia kwa machungu baada ya kifo cha baba yake alisema hakutegemea kama ipo siku baba yake angekasirika kiasi cha kujitoa uhai.
Kutokana na maadilili picha hizo hatutaziweka picha hizo
Nitaendelea kukupatia kila stori inayonifikia mtu wangu, niko tayari kukutumia wakati wowote kupitia,www.tangakumekucha.blogspot.com

No comments:

Post a Comment