Taarifa kuhusu kuachiwa kwa Mwenyekiti wa Jumuiya ya Wafanyabiashara Tanzania.
Hii
ni taarifa ambayo imetoka punde jioni hii ya January 28 na kusambazwa ikiwa ni
kuhusu kuachiwa kwa dhamana kwa Mwenyekiti wa Jumuiya ya Wafanyabiashara
Tanzania ambaye alikamatwa jioni ya January 26,kisha kupelekwa Dodoma
sehemu ambako inasemekana ndiko ilikofunguliwa kesi yake.Hautopitwa na stori yoyote inayonifikia mtu wangu, niko tayari kukutumia wakati wowote kupitia, www.tangakumekucha.blogspot.com

No comments:
Post a Comment