Wednesday, January 28, 2015

UWAJIBIKAJI KAZINI

Pale ambapo askari anaamua kuning’inia juu ya gari baada ya dereva kugoma kusimama

Hii ilitokea Vietnam mwaka 2012.
Hii ilitokea Vietnam mwaka 2012.
Hii iko katika mtandao wa Youtube, imerekodiwa katika mataa ya kuongozea magari Shanghai, China ambapo jamaa mmoja ambaye inasemekana alikuwa amelewa alifanya kosa kugeuza gari katika eneo ambalo haliruhusiwi, traffic alipomzuia jamaa huyo hakusimama.
Yule askari aliamua kuning’inia juu ya gari hiyo ambapo mbele walikutana na gari nyingine ambazo jamaa huyo alizigonga, askari huyo akaanguka chini.
Hautopitwa na stori yoyote inayonifikia mtu wangu, niko tayari kukutumia wakati wowote kupitia,www.tangakumekucha.blogspot.com

No comments:

Post a Comment