Wednesday, January 28, 2015

MAAMUZI MAGUMU YA MAMA BAADA YA MTOTO WAKE KULIA SANA

Maamuzi magumu ya Mama baada ya watoto wake kulia kwa muda mrefu.

mamaMwanamke mmoja jijini Washington amehukumiwa adhabu ya kifo baada ya kujaribu kuwaua watoto wake watatu kwa kuwakata koromeo ili waache kupiga kelele.
Christina Booth baada ya kufanya unyama huo, aliwapigia polisi simu na kuwaambia kuwa wanawe hao wamekua na tabia ya kulia mfululizo bila kunyamaza kitendo kilichomkasirisha na kuamua kutenda kosa hilo.
murdePolisi baada ya kufika eneo la tukio aliwakuta watoto hao ambao mmoja ana miaka miwili na wengine mapacha wana miaka sita,wakiwa taabani na kuamua kuwakimbiza hospitali kabla ya kumweka mama yao ndani kutokana na kufanya unyama huo.
Ni halali yako kupata kila stori inayonifikia mtu wangu, niko tayari kukutumia wakati wowote kupitia,www.tangakumekucha.blogspot.com

No comments:

Post a Comment