Thursday, January 29, 2015

MTOTO WA KIM KADARSHIAN ATUMBUKIZA SIMU YA BABA YAKE CHOONI

Utundu wa North ulipofanya Kanye West kutopatikana kwenye simu ya mkononi…

Noth
Kila ambacho mtoto mdogo anakiona huwa anahisi ni cha kuchezea, atakigusa na kufanya chochote anachojisikia kukifanya kwa wakati huo.
Mtoto wa Kim Kardashian na Kanye West anayeitwa North aliishika simu ya baba yake, akaingia nayo chooni, kisha akaflush na maji kwenye sink ya choo!
Kim Kardashian and Kanye West are spotted with their adorable baby, North West at LAX AirportKatika mahojiano na kipindi cha On air with Ryan Seacrest, Kim Kardashian amesema alisikia mtu akiflush chooni, alipoenda alikuta mwanaye akiwa amesimama pembeni ya choo huku simu hiyo akiwa tayari ameitumbukiza ndani.
Not last night, but the night before, I hear North in the bathroom and I hear the toilet flushing and flushing… I run in there and I’m like, ‘Wait a minute babe,’ to Kanye. ‘Didn’t she have your phone a second ago?’ The phone was in the toilet! I put it in a bag of rice, [but] nothing worked“– Kim Kadarshian.
Hiyo ilifanya Kanye West kukosekana hewani kwa muda fulani.
Hakuna story itakayokupita mtu wangu, niko tayari kukutumia wakati wowote kupitia www.tangakumekucha.blogspot.com

No comments:

Post a Comment