Saturday, January 31, 2015

FURAHA YA AFRICAN SPORTS KUPANDA DARAJA

 Washabiki na wapenzi wa timu ya African Sports ya Tanga tawi la Wagosi wa ndima Makorora, wakimchuna mbuzi ikiwa ni sherehe ya kufurahia timu yao kupanda daraja na kucheza ligi kuu Tanzania bara baada ya kuifunga timu ya Mlale JKT juzi uwanja wa CCM Mkwakwani.





Washabiki hawa wakimchuna mbuzi ikiwa ni furaha ya timu yao African sports kupanda daraja na mwakani kucheza ligi kuu Tanzania bara

No comments:

Post a Comment