Saturday, January 31, 2015

MATOKEO YA SIMBA NA JKT RUVU HAYA HAPA



Simba SC Vs JKT Ruvu imemalizika. Matokeo na Pichaz nimekusogezea hapa…

DSC08908
Ligi Kuu Tanzania Bara imeendelea leo January 31 katika viwanja mbalimbali ikiwemo Uwanja wa Taifa Dar, ambapo timu ya Simba Sports Club walikuwa wakipambana na JKT Ruvu kusaka point tatu muhimu za ushindi.
Mpaka dakika tisini zinakamilika matokeo yalikuwa hivi, Simba SC walikuwa na goli 2 wakati JKT Ruvu walishinda goli 1.
Matokeo hayo ni nafuu kwa Simba kupata point tatu muhimu baada ya timu hiyo kutokana na kutoa sare mechi saba, kufungwa mbili na hii imekuwa ni ya tatu kwao kupata ushindi katika ligi hiyo.

DSC08892
DSC08894
DSC08897
DSC08898
DSC08900
DSC08908
DSC08910
DSC08915
DSC08917
DSC08918
DSC08919
DSC08920
DSC08925
Hakuna story itakayokupita mtu wangu, niko tayari kukutumia wakati wowote kupitia,www.tangakumekucha.blogspot.com

No comments:

Post a Comment