Breaking: Burundi watu wote ndani, Wanajeshi kwa Wanajeshi wanapambana.
Kutoka
Bujumbura Burundi taarifa za sasa ni kwamba raia wameamriwa kutotoka
nje, milio ya risasi inasikika, Wanajeshi watiifu wa Rais wanapambana na
waliompindua.Usiwe mbali nami nitakutarifu kila kinachotokea hapa hapa tangakumekuchablog
No comments:
Post a Comment