Thursday, May 14, 2015

BANDARINI SAHARE TANGA

 Wachuuzi wa samaki bandari ya Sahare Tanga wakisubiri wateja. Kipindi hiki cha mbalamwezi samaki wamekuwa wakipatikana kwa wingi. Ndoo moja ya samaki aina ya dagaa ilikuwa ikiuzwa shilingi 8,000 wakati fungu moja na sakami aina ya kibua ni shilingi 1,500.





No comments:

Post a Comment