Tetemeko la ardhi Nepal limerudi tena kwenye Headlines…
Wakiwa
bado hawsajasahau tetemeko lililotokea takribani majuma mawili
yaliyopita, jana raia wa Nepal walikumbwa na tetemeko lingine kubwa .
Tetemeko
la kwanza lilisababisha vifo vya watu zaidi ya 8,000 na inasemekana
kuwa tetemeko hilo limeanzania katika mji wa Namche Bazar karibu na
milima ya Evarest.
Inasemekana tetemeko hilo limefikia
kipimo cha mil 7.4 ikilinganishwa na awali ambalo lilifikia kipimo cha
7.8 na tayari watu 29 wameripotiwa kupoteza maisha huku wengine zaidi ya
1000 wakijeruhiwa vibaya.
Hutopitwa na habari inayonifikia na niko tayari kukutumia muda wowote kupitia hapa hapa tangakumekuchablog
No comments:
Post a Comment