Monday, May 11, 2015

RIPOTI YA GARI ZINAZOTEMBEA BILA DEREVA

Ripoti ya miezi 8 kuhusu ajali ya gari zinazotembea bila dereva..

6837841-audi-s5
Dunia imekuwa na mengi ambayo yanahusiana na Teknolojia.. kila siku kuna story mpya, moja ya zilizowahi kuchukua headlines mwaka 2014 ilikuwa ni ishu ya magari ambayo yanajiendesha yenyewe bila dereva.
FILE - This May 13, 2014 file photo shows a row of Google self-driving Lexus cars at a Google event outside the Computer History Museum in Mountain View, Calif. Of the nearly 50 self-driving cars rolling around California roads and highways, four have gotten into accidents since September, 2014. That’s when the state officially began permitting these cars of the future, which use sensors and computing power to maneuver around traffic. Three accidents involved Lexus SUVs run by Google Inc. The fourth was an Audi retrofitted by the parts supplier Delphi Automotive. Google and Delphi said the accidents were minor and their cars were not at fault.(AP Photo/Eric Risberg, File)
Google pamoja na makampuni mengine yaliamua kuweka nguvu kwenye ubunifu huu,  mwezi September 2014 California Marekani iliruhusu magari hayo yaendelee kutembezwa katika barabara za kawaida ambazo zinatumiwa na magari mengine pamoja na watu.
Ripoti iliyotoka leo May 11 2015 inaonesha kuwa katika magari 50 ambayo yanatembea bila dereva California, zimewahi kutokea ajali nne tu ambazo zinahusisha gari hizo.. japo Google wanasema ajali ambazo zilitokea ni ajali ndogo tu za kawaida.
Ripoti hii ni kama inatia ushawishi wa nchi nyingine kuvutiwa na huu ubunifu na kuanza kutumia aina hii ya magari.. kingine kilichopo njiani ni hili lori ambalo nalo liko njiani kuja, nalo linatembea bila dereva.
freightliner_wide-a331a1875a9a645d208ad74f3493fa939cdd5316-s800-c85
Ungana nami kila wakati na niweze kukusogereza kila kinachonifikia hapa hapa tangakumekuchablog

No comments:

Post a Comment