Saratani:Mwanaharakati ajifunga nyororo
Mwanaharakati
 David Ndung'u Wanjohi wa Ol Kalau kaunti ya mkoa wa kati nchini Kenya 
amejifunga nyororo katika chumba cha dharura cha hospitali kuu ya 
Kenyatta Jijini Nairobi na kuanza mgomo wa kutokula ili kupinga kile 
alichokitaja kama ukosefu wa vifaa vya kuwasaidia wagonjwa wengi wa 
ugonjwa wa saratani nchini.

No comments:
Post a Comment