Sunday, January 11, 2015
HEKAHEKA SOKO LA MAKORORA NA MGANDINI, TANGA
Wachuuzi wa ndizi soko la
Makorora Tanga wakisubiri wateja, soko hilo ndio kubwa na kuanzisha utaratibu
wa kuwawezesha wakulima wadogowadogo kulitumia soko hilo kwa kuuza mikungu yao ili kuongeza kipato na kuwa
wakulima wakubwa.
Mpagazi soko la Mgandini Tanga, Rashid Ally akipakua ndizi
kutoka katika lori, kazi hiyo amedai ndio anayoitegemea na kumpatia kipato cha
kila siku wakati mkungu mmoja kushusha hutoza shilingi 300
Mpagazi soko la Mgandini Tanga, Abrahman Amir akipakua
ndizi kutoka katika lori, kazi hiyo amedai ndio inayomuendeshea maisha yake na
humpatia mahitaji yake ya kila siku, mkungu mmoja kuushusha hupata shilingi300.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment