Kanye West aongeza elimu zaidi…sasa ni DR. Kanye West!!
Tumezoea kuona stori za Kanye West
nyingi zikihusu maisha yake ya kimuziki pamoja na familia yake kwa
ujumla, lakini leo Rapper huyo wa Marekani amekuja na headlines
nyingine.
Tofauti na tulivyomzoea Kanye safari hii amefanikiwa kutunukiwa shahada ya udaktari wa sanaa (PHD) katika chuo cha School of Art Instute jijini Chicago.
Kanye alitunukiwa shahada hiyo katika
mahafali yaliyofanyika chuoni hapo jana jumatatu akiwa ni miongoni mwa
wanafunzi 900 waliohitimu elimu hiyo.
Licha ya kuwa Brazil Kim Kardashian
hakuwa nyuma katika kuonyesha furaha yake baada ya mumewe kutunukiwa
cheo hicho na kuamua kumpongeza kupitia mtandao wa Instagram.
No comments:
Post a Comment