Monday, May 4, 2015

MASUPA STAA NAO HAWAKUPITWA NA MTANANGE WA MANNY NA CAPAQIAUO

Camera za mapaparazzi zilinasa pia mastaa ambao hawakutaka kupitwa na pambano >>> Mayweather VS Pacquiao ..!!

Beyoncé-Jay-Z-Mary-J-Blige
Nilichozoea kukiona ni kwamba ukikuta sehemu kwenye mabanda ya video mtaani kumejaa watu basi wanakuwa wanaangalia mechi ya mpira wa miguu, lakini hili pambano ni kama limevunja rekodi yani !!
Watu walijaa kushuhudia round 12 za Floyd Mayweather na Manny Pacquiao zinaishaje.. Najua sehemu kubwa duniani hali ilikuwa hivyohivyo.. nikazipata PICHAZ, mastaa wa Marekani ambao nao hawakutaka kupitwa hata kidogo na pambano hilo, wakanunua ticket zao.. wakaingia na wenyewe MGM Grand Garden Arena, Las Vegas.
Antoine-Fuqua-Jake-Gyllenhaal-Mark-Wahlberg
Director wa movie Antoine Fuqua, yuko na actors Jake Gyllenhaal na Mark Wahlberg.
Beyoncé-Jay-Z-Mary-J-Blige
Wanandoa, Beyoncé na Jay Z, alafu kwa mbali hivi anaonekana Mary J Blige.
Charles-Barkley
Charles Barkley, mchezaji wa zamani wa Basketball ligi ya NBA
Denzel-Washington-Antoine-Fuqua
Staa wa movie, Denzel Washington na Antoine Fuqua, director wa movie
Jamie-Foxx
Staa wa muziki na movie, Jammie Fox
Mike-Tyson
Bondia wa zamani, Mike Tyson
celeb-style-fight-looks-mary-j-blige
Staa wa muziki, Mary J Blige
Nicki-Minaj
Member wa YMCMB, Nicki Minaj

No comments:

Post a Comment