Monday, May 4, 2015

MGOMO BARIDI, TANGA

 Abiria wa mabasi ya Mikoani kituo cha Kange Tanga wakiwa wameduwaa na kutojua cha kufanya baada ya madereva wa mabasi kugoma leo asubuhi na taarifa za hivi punde ni kuwa madereva wamekubali kuondosha magari kuelekea Mikoani.





No comments:

Post a Comment