Monday, January 12, 2015
MIRIPUKO, TUMEIKAMATA
Kaimu kamanda wa polisi
Mkoani Tanga, Juma Ndaki, akiwaonyesha waandishi wa habari miripuka ya baruti
475 iliyokamatwa Korogwe katika kizuizi cha polisi ikisafirishwa kwa basi
kutoka Arusha kuelekea Dar es Salaam.
Kaimu kamanda wa Polisi Mkoani
Tanga, Juma Ndaki akiwaonyesha waandishi wa habari miripuko ya baruti iliyokamatwa wakati ikisafirishwa kuelekea Dar
es Salaa kwenye kizuizi cha polisi Korogwe ambapo jumla ya miripuko 475
iligundulika ikiwa imefichwa katika maboxi matatu na kuwekwa chini ya uvungu wa
bas
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment