Sunday, January 11, 2015

MVUA YALETA KIZAA ZAA DAR

MVUA BALAA DAR ES SALAAM

Maji yakiwa yamejaa katika uelekeo wa kituo cha Sayansi kutokea Bamaga-Mwenge.
Basi likipita kwenye maji yaliyofurika.
Mkazi wa jiji akikatiza kwenye barabara iliyojaa maji eneo hilo.
Wananchi wakitafakari namna ya kuvuka maji yaliyotuama barabarani.
Baadhi ya maeneo na vibanda yakiwa yamezingirwa maji.
MVUA ya muda mfupi iliyonyesha jijini Dar es Salaam  leo iliyaacha maeneo mengi yakiwa yamejaa maji na kusababisha shida kubwa kwa wakazi wa jiji hilo.  Baadhi ya maeneo yaliyokumbwa na kadhia hiyo ni Bamaga-Mwenge ambako mitaro yenye kusafirisha maji ilijaa na maji kufurika hadi katika barabara na kufanya magari kukatisha safari zake na kuwa kero kwa watumiaji wa daladala.
Kumekuchablog iko kwa ajili yako na tembelea kila wakati kupata habar motomoto

No comments:

Post a Comment