Serikali ya Misri imetoa adhabu kutokana na machafuko kwenye uwanja wa mpira jana


Taarifa ya Wizara ya mambo ya ndani ya Misri inasema kuwa Mashabiki wa Zamalek walikuwa wanataka kuingia uwanjani kwa kutumia nguvu bila tiketi, na walikuwa wakiwazuia ili kunusuru mali zilizopo uwanjani hapo zisiharibike.
Tukio hili limetokea ikiwa ni miaka mitatu tangu Wapenzi wa soka zaidi ya 70 walipopoteza maisha wakati vurugu zilizotokea katika uwanja wa ndege wa Port Said.
Nitaendelea kukupatia kila stori inayonifikia mtu wangu, niko tayari kukutumia wakati wowote kupitia www,.tangakumekucha.blogspot.com
No comments:
Post a Comment