Mabingwa watetezi wa Kombe la FA
Uingereza upande wa wawanawake Kina dada wa Arsenal waliwalaza wapinzani
wao Tottenham 10-0 na kufika robo fainali Jumapili.Chelsea, ambao walishindwa na Arsenal fainali mwaka jana, pia walipata ushindi mkubwa, kwa kulaza Doncaster 7-0.
No comments:
Post a Comment