TANGA KUMEKUCHA
Sunday, March 26, 2017
RISASI ZARINDIMA OHIO
Mtu mmoja ameuawa na wengine 14 kujeruhiwa kufuatia ufyatuaji wa risasi kwenye klabu ya usiku huko Cincinati jimbo la Ohio.
Takriban watu wawili waliokuwa na silaha walitekeleza shambulizi kwa mujibu wa polisi.
Watu kadha walipata majeraha mabaya.
BBC
No comments:
Post a Comment
Newer Post
Older Post
Home
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment