Friday, March 31, 2017

UCHAGUZI CHADEMA KANDA YA KASKAZINI WAAHIRISHWA

 CHAMA CHA Demokrasia na  Maendeleo (Chadema), kimeahirisha Uchaguzi wa uongozi kanda ya Kaskazini kwa madai ya kuwepo kwa dosari baada ya kubaini kufuatia ziara ya majimbo 35 yaliyotembelewa na viongozi na kada wa Chama hicho kwa siku mbili mfululizi akiwemo kiongozi wa Taifa, Freeman Mbowe.
Viongozi na makada mbalimbali akiwemo Freedik Sumaye alikuwepo kwenye mkutano wa baraza la Uongozi mjini Tanga kushuhudia uchanguzi kama ungelikuwepo.
Katibu wa Chama kanda ya Kaskazini, Aman Golugwa alithibitisha kuahirishwa kwa uchaguzi huo.


No comments:

Post a Comment