Thursday, March 16, 2017

MAGUNIA YALIYOJAA PESA YAOKOTWA UWANJA WA NDEGE , KADUNA NIGERIA

Magunia yaliyokuwa na pesaMaafisa wa serikali nchini Nigeria wanasema magunia matano yaliyokuwa na mabunda ya noti yamegunduliwa katika uwanja wa ndege wa kimataifa wa Kaduna.
Pesa hizo zilipatikana katika dawati la kuhudumia wasafiri wanaoingia uwanja wa ndege kuabiri ndege.
Fedha hizo, za thamani ya jumla ya dola 150,000 za Marekani, ziligunduliwa wakati wa ukaguzi wa kawaida wa mizigo uwanja wa ndege.
BBC

No comments:

Post a Comment