Monday, March 27, 2017

ARSENAL YATOLEWA KOMBE LA FA

Marisa Ewers alijiunga na Birmingham City kutoka Bayer Leverkusen Aprili 2016Mabingwa watetezi wa Kombe la FA la Wanawake nchini Uingereza, Kinadada wa Arsenal, wametupwa nje ya michuano ya mwaka huu.
Hii ni baada ya kuchapwa 1-0 na kinadada wa Birmingham City katika hatua ya robo fainali.
Bao la Birmingham lilifungwa na Marisa Ewers dakika ya 77.
BBC

No comments:

Post a Comment