Aliyekuwa rais wa Misri Hosni
Mubarak ameripotiwa kuachiliwa huru baada ya kuhudumia miaka jela
kufuatia maandamano yaliomng'atuwa mamlakani 2011.Aliagizwa kuachiliwa huru mapema mwezi huu baada ya mahakama ya rufaa kumuondolea makosa ya kuwaua waandamanaji wakati wa maandamano dhidi yake 2011.
No comments:
Post a Comment