Mshambuliaji wa Manchester United
Marcus Rashford atatajwa kwenye kikosi cha meneja wa England , Gareth
Southgate siku ya Alhamisi.Lakini na washambuliaji wa England HarrRy Kane na Wayne Rooney wote wametolewa kutokana na majeraha , huko Rashford akitarajiwa kuchukua nafasi hiyo.
England itakabiliana na Ujerumani katika mechi ya kirafiki kabla ya mchuano wa Kombe la Dunia dhidi ya Lithuania huko Wembley tarehe 26 mwezi Machi .
No comments:
Post a Comment