Friday, March 31, 2017

FIFA YAIDHINISHA TIMU 48 KOMBE LA DUNIA

Ujerumani ndio bingwa mtetezi wa kombe la duniaChama cha soka duniani FIFA kimepanga kuwepo kwa michezo sita ili zipatikane timu zitakazoingia katika fainali za kombe la dunia mwaka 2020.
FIFA imefafanua ni kwa namna gani timu 48 zitaweza kushiriki michuano hiyo.
Rais wa shirikisho la soka Ulaya Aleksander Ceferin amesema kuwa amefurahishwa na hatua hiyo na nchi za Ulaya zitawakilishwa vyema.

No comments:

Post a Comment