Monday, March 27, 2017

MBOWE ATINGA TANGA



Mwenyekiti wa Taifa wa Chadema, Freeman Mbowe, akizungumza na viongozi wa kata, Wilaya na Mkoa wa Tanga wakati wa kikao cha ndani cha Chama hicho kilichofanyika ukumbi wa YDPC Tanga jana.
.




Wanachama na viongozi wa kata na Wilaya wa Chadema Wilaya ya Tanga wakimsikiliza Mwenyekiti wa Taifa wa Chama hicho, Freeman Mbowe kwenye kikao cha ndani cha chama hicho kilichofanyika ukumbi wa YDPC jana.

No comments:

Post a Comment