Waziri ashutumu askari kwa kuchomoa bastola wakimdhibiti Nnauye
Waziri wa mambo ya
ndani nchini Mwigulu Nchemba ameshutumu kitendo cha askari kuchomoa bastola na kufyatua risasi wakati maafisa wa usalama
walipokuwa wanajaribu kumzuia aliyekuwa waziri wa habari kuhutubia
wanahabari.Amesema amemwagiza mkuu wa jeshi la polisi kutumia picha zilizopigwa wakati wa tukio hilo kumsaka mhusika.
BBC
No comments:
Post a Comment