Sarafu kubwa iliyotengenezwa kwa
dhahabu, ambayo ina picha ya Malkia Elizabeth wa Uingereza, ambayo
inakadiriwa kuwa na thamani ya $4m (£3.2m), imeibiwa kutoka kwenye
makumbusho Ujerumani.Iliibiwa usiku kutoka makavazi ya Bode mjini Berlin.
Haijabainika ni vipi wezi walifanikiwa kuingia bila kugunduliwa na mtambo wa kuzuia wezi, na kisha wakafanikiwa kutoroka na sarafu hiyo ambayo nusu kipenyo chake ni cha nusu mita.
BBC
No comments:
Post a Comment