Monday, March 27, 2017

BIASHARA KUELEKEA TANGA MJINI



 Wafanyabiashara wa mkaa kutoka Maramba Wilayani Mkinga Mkoani Tanga wakielekea Tanga mjini kusaka wateja wa biashara yao, Gunia moja la mkaa lilikuwa likiuzwa 20,000 hadi 25,000.




Mfanyabiashara wa matenga kutoka Maramba Wilayani Mkinga Mkoani Tanga akielekea Tanga mjini kutafuta wateja, Tenga moja alikuwa akiuza 7,000.

No comments:

Post a Comment