Wakazi na watoto Tanga wakichagua viatu soko la Tangamano jana
ikiwa ni maandalizi ya kufunguliwa shule ambazo zinatarajiwa kufunguliwa kesho Jumanne nchini kote.
Mwanafunzi wa darasa la pili shule ya
msingi ya Mwanzange halmashauri ya jiji la Tanga, Khalid Said, akisaidiwa na
dada yake kujaribu kaprura ikiwa ni maandalizi ya shule ambazo zinatarajiwa
kufunguliwa nchini kote Jumanne.
No comments:
Post a Comment