Wednesday, March 30, 2016

BIASHARA , MAANDALIZI



Mfanyabiashara soko la Ngamiani Tanga, Adam Hassan, akipanga taa aina ya koroboi na ungo kusubiri wateja. Kipindi hiki cha umeme kuzimika nyakati za usiku watu wengi wamekuwa wakinunua taa aina ya koroboi kukidhi mahitaji nyakati za usiku. Taa moja koroboi ilikuwa ilikuwa ikiuzwa kwa 800.





No comments:

Post a Comment