Friday, March 11, 2016

HAYA NDIO MADARASA YA WANAOSOMEA WANAFUNZI MSWAHA , KOROGWE TANGA



 Moja ya madarasa ya shule ya msingi ya Mswaha Darajani Wilayani Korogwe Mkoani Tanga likiwa limebomoka na kuhatarisha usalama wa wanafunzi shuleni hapo.
Madarasa hayo yamekuwa yakitumiliwa na wanafunzi yamekuwa yakihatarisha usalama wa wananfunzi na mwalimu






No comments:

Post a Comment