Friday, March 11, 2016

MIJI 10 YA GHARAMA DUNIANI, MMOJA WA RAHISI UPO AFRICA

Miji 10 Duniani ya gharama zaidi kuishi na mmoja wa bei rahisi upo Afrika

Unatamani kujua ni miji gani gharama zake za kuishi ni nafuu zaidi na pia ni ipi yenye gharama kubwa zaidi kuishi.
Economist Intellligence Unit wamefanya utafiti kuhusiana na Miji mikubwa Duniani yenye gharama kubwa zaidi za kuishi kwa mwaka 2016. Utafiti huu ulijikita zaidi katika kufanya mahesabu kwa kulinganisha bei za vitu kwenye miji 133, Singapore imeshika namba moja kwa kuwa mji wenye gharama kubwa zaidi za kuishi.
Mji mkuu wa Zambia Lusaka ndio mji wenye gharama ndogo za kuishi Duniani, umechukua nafasi ya 133 ikiwa ni nafasi ya mwisho kwenye miji iliyofanyiwa utafiti ikifuatiwa na miji ya India Bangalore na Mumbai.
1.Singapore
47-singapore-hotel-afpget
2.Zurich-Switzerland
zurich 2
3.Hongkong
hongkong 3
4.Geneva
Geneva 4
5.Paris
paris 5
6.London
59-London-Getty 6
7.New York
newyorkcity-tourism 7
8.Copenhagen, Denmark
bicycles-copenhagen-alamy 8
9.Seoul-South Korea
seoul-agenda-afp 9
10.Los Angeles
losangelesskyline 10
133.Lusaka -Zambia
lusaka...
Most-expensive-cities
Kwa habari, matukio na michezo ni hapahapa Tangakumekuchablog

No comments:

Post a Comment