Manchester United wamepokea kichapo Anfield dhidi ya Liverpool

Roberto Firmino akishangilia goli
Hata hivyo takwimu hizo hazikuwa na msaada wowote kwa Man United kwani vijana wa Jurgen Klopp walifanikiwa kuifunga Man United kuanzia dakika ya 20 kupitia kwa Danny Sturridge kwa mkwaju wa penati, kabla ya dakika ya 73′ Roberto Firmino kupachika goli la pili lililoimaliza Man United na kufanya mchezo umalizike kwa Liverpool kuibuka na ushindi wa goli 2-0.
No comments:
Post a Comment