Tuesday, March 22, 2016

PICHA KUTOKA ENEO LA MRIPUKO BRUSSELS

Picha zaidi ya mripuko brussels uliotokea punde


Kwenye vyombo vya Habari vya kimataifa, habari inayomake headline sasa hivi ni taarifa ya mlipuko uliotokea uwanja wa ndege na watu zaidi ya 10 wanakadiriwa kufa na wengine 35 kujeruhiwa.
Uwanja wa ndege wa Brussels wametoa taarifa kupitia ukurasa wao wa Twitwer na wamesema kwamba kumekuwa na milipuko miwili na pia shughuli zote za uwanja wa ndege zimesimama na majengo yameondolewa na milipuko na pia wameomba watu wasiende maeneo ya uwanja huo. Mpaka sasa haijabainika chanzo cha milipuko hiyo ambapo vyombo vya habari vya kimataifa vinasema kuwa milipuko hiyo imetokea siku chache baada ya kukamatwa kwa mshukiwa wa mashambulio ya Paris mwaka jana ambayo yalisababisha vifo vya watu 130.
Brussels_smoke_3598751b
.
Brussels-airport-3
.
Damage_at_Brussels_3598759b

No comments:

Post a Comment