Wednesday, March 9, 2016

SHIBOLI DAKIKA YA 85 AIPATIA GOLI COASTAL



Mshambuliaji wa Coastal Union, Juma Mahadhi, akijaribu kumtoka kiungo wa Mgambo JKT, Salim Gilla(11) wakati wa mchezo ligi kuu Tanzania Bara uwanja wa Mkwakwani.




  Kipa wa Mgambo JKT, Said Saleh, akidaka mpira wa kona uliopgwa na Coastal Union  langoni kwake wakati wa mchezo ligi kuu Tanzania Bara uwanja wa Mkwakwani.


Kiungo wa Mgambo JKT, Salim Gilla, akiwatoka washambuliaji wa Coastal Union wakati wa mchezo ligi kuu Tanzania Bara uwanja wa Mkwakwani.
Mshambuliaji wa Coastal Union, Abdi Salim Chidebere, akipiga mahesabu ya kumtoka beki wa Mgambo JKT, Salim Gilla wakati wa mchezo ligi kuu Tanzania Bara uwanja wa Mkwakwani.

No comments:

Post a Comment