Sunday, March 13, 2016

WAZIRI MKUU , ATEMBELEA KIWANDA CHA MAJI BUKOBA

kag1
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akifungua  kiwanda cha Maji   ya Bunena Spring Water  kilichopo mjini Bukoba Machi 13, 2016. Alikuwa katika siku ya kwanza ya ziara ya mkoa wa Kagera. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
kag2
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akikagua mradi mkubwa wa maji wa Bunena mjini Bukoba ulio chini ya mamlaka ya maji ya mji huo BUWASA  akiwa katika siku ya kwanza  ya ziara ya mkoa wa Kagera machi 13, 2016. (Picha na Ofisi ya Waziri Mlkuu)
kag3
Waziri Mkuu, Kassim majaliwa akikata utepe kuashiria uzinduzi wa kwanda cha maji cha Bunena Spring Water akiwa akika ziara ya mkoa wa Kageza Machi 13, 2016.
kag4
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akikagua maji uanayotengenezwa na  kiwanda cha maji ya Bunena Spring Water cha Bukoba mjini akiwa katika siku ya kwanza ya ziara ya mkoa waKagera Machi, 13, 2016.  Kulia kwake ni Askofu wa jimbo la  (Picha na Ofisi ya waziri Mkluu)
kag5
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akikagua maji uanayotengenezwa na  kiwanda cha maji ya Bunena Spring Water cha Bukoba mjini akiwa katika siku ya kwanza ya ziara ya mkoa waKagera Machi, 13, 2016.  Kulia kwake ni Askofu wa jimbo la  (Picha na Ofisi ya waziri Mkluu)
kag6

No comments:

Post a Comment