Monday, March 21, 2016

MGAMBO JKT WAINYAMAZISHA TOTO ARFICAN, MKWAKWANI, YAIPIGA 2 KWA 1



 Kiungo wa Toto African, William Kimanzi akitafuta m,binu ya kumtokabeki wa Mgambo JKT, Helbert Lukindo wakati wa mchezo ligi kuu Tanzania Bara uwanja wa Mkwakwani leo.



  Beki wa Mgambo JKT, Helbert Lukindo, akimtoka Salim Idd wa Toto African wakati wa mchezo ligi kuu Tanzania Bara uwanja wa Mkwakwani leo.


Mshambuliaji wa Mgambo JKT, Ally Nassour akichomoka kupeleka mashambulizi katika lango la Toto African wakati wa mchezo ligi kuu Tanzania Bara uwanja wa Mkwakwani leo.
  Beki wa Mgambo JKT, Bushiru Mohammed, akitafuta mbinu ya kumtoka kiungo wa Toto African Miraji Madenge, wakati wa mchezo ligi kuu Tanzania Bara uwanja wa Mkwakwani Leo.

 Weweee kipa nyanyuka wacha kuchelewesha mchezo kwa vile unaongoza goli mbili ndio unabweteka, ndivyo refarii wa mchezo wa leo baina ya Mgambo na Toto Africa akimwambia mlinda mlango wa Mgambo.
 Ndio unakunywa maji kichupa kimoja dakika tano , ndivyo unavyoonekana refarii wa mchezo wa mgambo na Toto African leo uwanja wa Mkwakwani ambapo Mgambo imeibuka na ushindi mwembamba wa gali 2 kwa 1

 Jamani ; jahazi lazama hata afande pembeni yetu anatuhurumia, ndivyo inavyoonekana wachezaji wa Toto wanavyoonekana kusema baada ya kukubali kipigo cha mabao 2 kwa 1 leo uwanja wa Mkwakwani Tanga
 Ameunawaaaaaaaaaaaaaaaa, ndio inavyoonekana mchezaji wa Mgambo akiwa ameushika mpira na wachezaji wa Toto wakilalalamika.
 Hapa utakula yellow kadi tu, sitaki mzaha uwanjani
Amka basi weweeee, usipoteze muda hawa jamaa wameshalala

No comments:

Post a Comment