Friday, March 18, 2016

MARTIN SHIGELLAH AWASILI TANGA KUCHUKUA NAFASI YA MAHIZZA



 Mkuu wa Mkoa wa Tanga, Martin Shigela, akipokewa na aliekuwa Mkuu wa Mkoa huo, Mwantumu Mahiza, mara baada ya kuwasili  na kupokewa na viongozi mbalimbali wa chama na Serikali Leo  ikiwa ni siku yake ya kwanza kuwasili na kukabidhiwa ofisi.




 Mkuu wa Mkoa wa Tanga, Martin Shigela, akisalimiana na Mkuu wa Wilaya ya Mkinga, Mboni Mgazza wakati akiwasili na kupokewa na viongozi mbalimbali wa chama na Serikali ikiwa ni siku yake ya kwanza kuwasili ofisini kwake  leo.
 Mkuu wa Mkoa wa Tanga, Martin Shigela, akisalimia na viongozi mbalimbali wa chama na Serikali mara baada ya kuwasili kwa makabidhiano ya ofisi na mtangulizi wake Mwantumu Mahiza leo.


No comments:

Post a Comment